Afrohome investments

Afrohome investments a home is a home with Afrohome investments

Sura yake ya vutia,Moyo wake hutojutia,Hajaumbwa kashushwa kwa kunyatia,Hakika yu mzuri avutia,Abadani asilani ntakupati...
20/07/2025

Sura yake ya vutia,
Moyo wake hutojutia,
Hajaumbwa kashushwa kwa kunyatia,
Hakika yu mzuri avutia,
Abadani asilani ntakupatia.


Ata Mimi sijui kwani nani anasifiwa uko
Nunua pochi tuisifie pochi karibu. Hakika anavutia Afro safari bag,afro tote, kila aina ya begi ntakupatia lete madolari.

NasemajeeeeeeeeeRudisha kitabu nyumbani iiiiiiiiiKesho pale Kijiji cha makumbusho njoo   tukutaneKwa heshima na taazima ...
27/05/2025

Nasemajeeeeeeeee

Rudisha kitabu nyumbani iiiiiiiii

Kesho pale Kijiji cha makumbusho njoo tukutane

Kwa heshima na taazima naomba comments za umebongeka zije tu usisemee moyoni sawa eee
Usije pasuka bureeeeeeeeeee

Meet the Afrohome queen

Happy birthday to you lily Josey the afrohome queen . sweet heart I celebrate you every day but today specifically I tel...
16/05/2025

Happy birthday to you lily Josey the afrohome queen . sweet heart I celebrate you every day but today specifically I tell you the Ta**us queen the world is blessed to have you.

Being a blessing is by starting blessing your self.
I pronounce success, blessing ,fruitfulness and in your life you shall prosper.

Blessed is the womb that carried me Mkami Maisangara asantee mama nakupenda hata Dunia ikipinduka nikaambiwa nichague mama ntakuchagua wewe mama Asante kwa Baraka ya mimi kuzaliwa nakupenda

Lily you the last born of God that little baby in you is precious and no matter what happens in life no matter the choices you come first

I chose you I will choose l am choosing you happy birthday to you lily

Kila birthday huwa najinunulia kitabu Ila birthday hii karibu uje tarehe 28 mwezi huu Kijiji cha makumbusho ununue kitabu changu
FANIKIO ARDHINI
Kwenye tamasha la TAFF

*NDIYOOO*Ni Tamasha kubwa kabisa la Fasihi ya Kiswahili Tanzania, hii haijawahi kutokea. Kila mmoja atakuwa kijiji cha M...
05/05/2025

*NDIYOOO*

Ni Tamasha kubwa kabisa la Fasihi ya Kiswahili Tanzania, hii haijawahi kutokea.

Kila mmoja atakuwa kijiji cha Makumbusho Kijitonyama Dsm, mimi ni nani ati nikose!? 🤔🤔🤔

KAULI MBIU NI ILE ILE * KITABU NYUMBANI 2025*





🖐️🇹🇿

Hello habari zenu tupo tu kutana na mwalimu mshona pochi na accessories karibuni.Hiyo niliyobeba ndo Ile kontena ya kube...
28/04/2025

Hello habari zenu tupo tu kutana na mwalimu mshona pochi na accessories karibuni.

Hiyo niliyobeba ndo Ile kontena ya kubebea wapigakelele na back benchers wasioandika notes

Meet madam Lilian Mwita
Afrohome investment
0758089299

Mvua isikuzuie kutoka eti nguo zitaogelea wewe hujakutana na afro safari leather bag ukinunua ije jua ije mvua unadunda ...
11/04/2025

Mvua isikuzuie kutoka eti nguo zitaogelea wewe hujakutana na afro safari leather bag ukinunua ije jua ije mvua unadunda balaaa

Tunatengeneza kwa order
0758089299


Graduation za form six ndo zimepamba moto sasa utatoa zawadi gani hujui.Mchukulie hii pochi ni ya kisasa  imara .Handmad...
03/04/2025

Graduation za form six ndo zimepamba moto sasa utatoa zawadi gani hujui.

Mchukulie hii pochi ni ya kisasa imara .

Handmade nzuri kabisa

Pochi ukitoa order inatengenezwa ndani ya siku 3

Bagamoyo to the world
Afrohome 0758089299

Afrohome min box bagHaka sasa kakijanja sana yaani full jeans Unakua K**a mtoto wa chuo ivi yaani katamu balaaaNi 20000/...
22/03/2025

Afrohome min box bag
Haka sasa kakijanja sana yaani full jeans
Unakua K**a mtoto wa chuo ivi yaani katamu balaaa

Ni 20000/=
Afrohome investment
0758089299

Episode twoMwaka mmoja wa Afrohome open schoolKuachishwa ama kuacha kazi ya hitaji kazi ya ziada ku survive kitaaIla K**...
17/03/2025

Episode two
Mwaka mmoja wa Afrohome open school

Kuachishwa ama kuacha kazi ya hitaji kazi ya ziada ku survive kitaa
Ila K**a utakubali pay cheque hamna tena basi utapona haraka

Uzoefu binafsi nililia niliumia nilifadhaika.
Ila nilijipa mda wakuwaza na kuwazua ya kwamba nahitaji nini.

Je ajira,biashara au nataka nini
Nilikua najua basic needs kwa mwezi ili zikamilike zinahitaji kiasi gani
Sikua na mapesa kwa account Ila nilikua na circle positive.
Nilikua na wakunitia moyo sio kunihurumia.
Ndani ya mwezi nilijaza note book na ramani za hatua inayofwata

Katika yote nkakumbuka Mimi ni mwalimu kwa kusomea na kwa wito nikaanza hapo kutangaza home schooling na tuition na online classes

PM alisema twende veta nikasaka notes zangu za ushonaji nikaingia kujinoa na kutangaza darasa futa vumbi cherehani zangu nkarudi kushona

Sasa wewe sio mwalimu ndio Ila nikweli field yako inahitaji uwe na ajira rasmi.tu hapana consultancy pia ni ajira Ila tujuwe unaweza nini

Kweli unalia ukikaa apo ayo mayai yako yatakula machozi yako.
Simama oga pendeza fanya ibada jifungie chumbani chora ramani mpya.

Nilikuwa naoga napendeza K**a naenda kwa kazi naenda ufukweni nasoma kitabu naapanga nifanye nini.
Ni muhimu ujue unahitaji kiasi gani mambo yako yaende itakusaidia usikurupuke
Usiharakishe ajira mpya yaani muajiri asikuajiri kwa sababu unashida Ila iwe sababu anakuhitaji anahitaji taaluma yako

Kwanini? sasa kuachishwa kazi nikama kuachwa na mpenzi ukijichanganya kwa penzi jipya maumivu yakipona unagundua kiapo Cha kifo kiwatenganishe ulimpa mtu ambaye upepo tu unawatenganisha
Umesign mkataba uliouza mda ,utu na kila kitu chako kwa mda mrefu na pesa yenyewe haitimizi robo ya mahitaji ya mwezi

Nikiwa nafanya kumbukizi ya mwaka mmoja wa Afrohome open school ni kumbukizi ya mwaka mmoja nje ya pay cheque

Maisha nikuchagua nausipochagua kufanikiwa maana yake umechagua kufeli.
Dunia haina huruma na haitokuhurumia
Achakutia huruma uza ujuzi na mawazo yako tutanunua atakama ni baada ya miaka

Yaani somo kubwa nimejifunza ni ukiwaza K**a muajiri ni tofauti na kuwaza K**a muajiriwa .

Pia kuuza mwezi na kuuza masaa ni tofauti sana.

Valentine sasa bana Kuna anayeichukia sababu aliachagwa siku ya valentine Kuna yule anapendwa valentine tu Kuna sisi tun...
25/01/2025

Valentine sasa bana Kuna anayeichukia sababu aliachagwa siku ya valentine

Kuna yule anapendwa valentine tu

Kuna sisi tunajizawadia valentine

Afrohome inakuletea valentine collection

Oooh no kitenge kitu classic kabisa yaani kishua kabisa bei inaanzia 55000/=

Afrohome 0654762508

Table mat za kishua sasa yaani canvas leather kitenge wewe sema unataka nini afrohome iko tayari kukuhudumiaKula kishua ...
24/01/2025

Table mat za kishua sasa yaani canvas leather kitenge wewe sema unataka nini afrohome iko tayari kukuhudumia

Kula kishua ki 5 star kabisa

0654762508 bagamoyo

Hello how are you?Habari u hali gani?Ewe ndoto yule niliye kuota utotoni.U hali gani.Ni vingi sana niliota.Japo nilipoam...
30/12/2024

Hello how are you?
Habari u hali gani?

Ewe ndoto yule niliye kuota utotoni.
U hali gani.

Ni vingi sana niliota.
Japo nilipoamka vilibaki ndotoni.

Ndoto ya kuwa daktari bingwa
Ndoto ya kuwa mwanasiasa.

Ndoto zilienda na umri.
Ndoto zilibaki usingizini.

Ndoto zilikuwa kubwa.
Nikaweka chata Dr Bhoke kila nguo yangu skonga.

Ndoto haziamki nami.
Ndoto zilikuwa nzuri.

Ndoto ya kuwa Mbunge wa Serengeti nipeleke barabara ngoreme nyumbani.

Ndoto zilikuwa ndoto.
Niliota kuwa miss Tanzania K**a Miriam Odemba ndo maana niliogea revola

Ndoto za kucheza kabumbu.
Yaani nifike twiga stars yaani ndoto

Ndoto nyingi niliota Ila,
Ndoto zilikuwa ndoto

Nilitamani vile Sauda Simba alisoma taarifa ya habari kwa ngeli yaani ukinikuta naiga mtangazaji huyu apa.

Ndoto ya kufika do chevele nitangaze kutokea uingereza ndoto

Ndoto ya kukaanyuma ya mic nireport kutoka Radio one ilikuwa tamu nilichagua mpaka kipindi na mazoezi nilifanya

Ndoto hizi hazikuwa batili na nyingi hazijafa ndani yangu Ila nilijua ukweli

Ukweli kwamba hatuoti tu.
Bali Fanya itokee kweli ukiamka usingizini.

Waza mpaka iwe maono sasa yaani tuone wazi wazi macho yakiwa wazi

Yaani yakiwa maono weka malengo maono yaonekane

Mtoko wa fursa 2025 unasema tuoneshe

Mimi nasema jioneshe kwanza sisi tutaona tu

Hizi zilikuwa ndoto.
Yaani zipo zilizowai sikika na zipo zilizo Baki sirini ata sasa

Nikaona vile ntakuwa daktari mzuri walio wai kuwa wanafunzi wangu wengi waliuliza kwa Nini haukuwa daktari

Niliona nikajua nikaitwa
Nikaitika wito wa kuandaa madaktari.

Ualimu ukabeba ndoto zangu nyingi sana.
Hii haikua ndoto
Huu ni wito

Nawaita Leo K**a nilivyo itwa kuwa mwalimu nileteeni
Wale wenye ndoto

Wale watoto wayajue yao maono Ile ndoto Leo imetimia Afrohome open school

Nizaidi ya elimu
Ni ibada kulea maono
Ni elimu kwa vitendo
Ni elimu na kusudi lake maishani

Nursery and daycare
Reading club
Evening discussion and study place kwa wanafunzi wa sekondari

Address

Bagamoyo
Bagamoyo

Opening Hours

Monday 06:00 - 22:00
Tuesday 06:00 - 22:00
Wednesday 06:00 - 22:00
Thursday 06:00 - 22:00
Friday 06:00 - 22:00
Saturday 08:00 - 18:00

Telephone

+255758089299

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afrohome investments posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afrohome investments:

Share