Kangaweartz

Kangaweartz Seller of Kanga from Mombasa,Oman &Zanzibar. Also we have Masai Shukas/sheets

Karibu ujipatie kanga hizi size ya kati (medium) kutoka Zanzibar.  Kitambaa chase ni cotton laini kiasi, vipande viwili ...
18/07/2026

Karibu ujipatie kanga hizi size ya kati (medium) kutoka Zanzibar. Kitambaa chase ni cotton laini kiasi, vipande viwili na zina maneno.

Bei kwa moja ni Tsh 17,000 /= na bei ya jumla ni Tsh 15,000/=(kuanzia 3).

📍Tupo Savei – Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City, Dar es Salaam.

🚚 Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam (Mteja analipia).

Wateja wa Mikoani mizigo italipiwa na usafiri pia ndio mzigo utatumwa.

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

📞 Simu ya Dukani: 0620 131 972


17/07/2026
16/07/2026

Kwa mahitaji ya sare ya vikundi/mashosti karibu tuyajenge ili kuweza kufanikisha oda hizi 🤗💃.

📍Duka lipo Savei Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City.

📦Mkoani pia tunatuma kwa gharama ya mteja.

Tafadhali chagua bidhaa upendazo na tutajipanga zikufikie/delivery au kutembelea dukani kwetu.

📞Call/WhatsApp namba ya dukani :+255620131972

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

Kanga zenye rangi nyekundu..part 2🤗Karibu upate kanga kubwa za Zanzibar kwa bei ya reja reja tsh 21,000 na jumla kuanzia...
15/07/2026

Kanga zenye rangi nyekundu..part 2🤗

Karibu upate kanga kubwa za Zanzibar kwa bei ya reja reja tsh 21,000 na jumla kuanzia 3 ni tsh 19,500. Usisite kuwasiliana nasi🤗.

📍Duka lipo Savei Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City.

📦Mkoani pia tunatuma kwa gharama ya mteja.
Unauchaguzi Wa kufanyiwa delivery au kutembelea dukani kwetu.

📞Call/WhatsApp namba ya dukani :+255620131972

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

Kanga zenye rangi nyekundu..part 1🤗Karibu upate kanga kubwa za Zanzibar kwa bei ya reja reja tsh 21,000 na jumla kuanzia...
14/07/2026

Kanga zenye rangi nyekundu..part 1🤗

Karibu upate kanga kubwa za Zanzibar kwa bei ya reja reja tsh 21,000 na jumla kuanzia 3 ni tsh 19,500. Usisite kuwasiliana nasi🤗.

📍Duka lipo Savei Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City.

📦Mkoani pia tunatuma kwa gharama ya mteja.
Unauchaguzi Wa kufanyiwa delivery au kutembelea dukani kwetu.

📞Call/WhatsApp namba ya dukani :+255620131972

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

📞 Simu ya Dukani: 0620 131 972

Kanga za Zanzibar zina size ndogo, ya kati na kubwa. Bei zake ni k**a ifuatavyo:1.Kubwa :reja reja ni 21,000 na jumla ku...
13/07/2026

Kanga za Zanzibar zina size ndogo, ya kati na kubwa. Bei zake ni k**a ifuatavyo:

1.Kubwa :reja reja ni 21,000 na jumla kuanzia 3 ni 19,500.

2.Kati: reja reja ni 17,000 na jumla kuanzia 3 ni 15,000.

3.Ndogo: reja reja ni 13,000 na jumla kuanzia 3 ni 10,000.

Tafadhali chagua bidhaa upendazo na tutajipanga zikufikie/delivery au kutembelea dukani kwetu.

📍Tupo Savei – Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City, Dar es Salaam.

🚚 Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam (Mteja analipia).

Wateja wa Mikoani mizigo italipiwa na usafiri pia ndio mzigo utatumwa.

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

📞 Simu ya Dukani: 0620 131 972

11/07/2026

Asante sana wote mnao endelea kufuatilia akaunti hii ya Seller of kangas from Mombasa, Oman & Zanzibar .
Kwa kanga kutoka Mombasa, Oman na Zanzibar. Pia mashuka ya Kimasai usisite kuwasiliana nasi🤗.

Bei zetu ni k**a ifuatavyo:

1. Kanga za Mombasa:reja reja ni 21,000 na jumla kuanzia kanga 3 ni 19,000. Pia kuna za reja reja 24,000 na bei ya jumla 22,000 kuanzia kanga 3.

-Kuna kanga za Mombasa zilizo kwenye sale/punguzo la bei kuna za 15,000, 17,000,19,000 na 22,000.

2. Kanga za Zanzibar kubwa :reja reja ni 21,000 na jumla kuanzia 3 ni 19,500.

-Kuna kanga size ya Kati: reja reja ni 17,000 na jumla kuanzia 3 ni 15,000.
-Kanga za Zanzibar ndogo: reja reja ni 13,000 na jumla kuanzia 3 ni 10,000.

3. Kanga za Oman: reja reja ni 25,000 na jumla kuanzia kanga 3 ni 23,000. Kuna iliyo kipande kimoja kikubwa na kuna yenye vipande viwili nayo ni kubwa. Zote ni cotton laini na hazina maneno.

4. Shuka la kimasai moja ni 17,000 na bei ya jumla 13,000 kuanzia mashuka matatu.

5. Vipepeo/hand fan 15,000

6.Bookmarks za kanga 7,000

7.Notebooks zilizofunikwa kwa kanga ndogo-12, 000 na kubwa 15,000.

8. Diaries za 2026 zilizo nakshiwa na kanga zipo kwenye bei ya punguzo ya Tsh. 13,000/=.
9.Pochi size ndogo tsh 5,000 na size kati 7,000
Tafadhali chagua bidhaa upendazo na tutajipanga zikufikie/delivery au kutembelea dukani kwetu.

📍Tupo Savei – Kontena Jekundu, 6 Tupendane Street karibu na Mlimani City, Dar es Salaam.

🚚 Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam (Mteja analipia).

Wateja wa Mikoani mizigo italipiwa na usafiri pia ndio mzigo utatumwa.

⏰ Muda wa kazi: Jumatatu–Jumamosi | Saa 3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni

📞 Simu ya Dukani: 0620 131 972

Address

Savei Mlalakuwa
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00

Telephone

+255715131972

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kangaweartz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share