07/08/2019
Nakumbuka tulikuwa tunakaziana sana wakt tupo wadogo lakin sasa umekuwa rafiki Yangu wakaribu sanaaa Mungu azidi kukupa unyenyekevu zaidi katika huduma yake aliyoiweka ndani haki tumebarikiwa watoto wa Sambagi kuwa waimbaji Mungu akuinue na tuzidi kushirikiana sana ufikie malengo yako ahsnt kwa kuniheshimu kaka yako na kunipeda nam najivunia ww much love dogoooo Happy birthday my lovely younger brother @ Ubungo Msewe