03/04/2019
Tunaishi katika ulimwengu ambapo:
"Neno la Mungu limekuwa ujinga;
";
-dhambi imekua kitu chakushangiria
"Ambapo mwanamke mzuri ndiye anayevaa vibaya;
"-Ambapo ulevi na uvutaji ninjia yakuondoa stres;
-kusoma kunaleta uvivu;
-aongeae kweli ni mpumbavu;
"Yeyote anayekimbia udanganyifu ni mshamba;
"Ambapo mwanamke aliyevaa vizuri kwakujistiri anaitwa mwanamke mzee;
"Ambapo kuwa bikira ni kupitwa na wakati
-kupendana jinsia moja Gayi;
-Ambapo yeyote mwenye ujuzi na mafanikio hunenwa ni Mchawi au yu freemason,,,
"Ambapo huumiza zaidi kupoteza simu kuliko ubikira;
"Ambapo Mada ya kuhusu ngono ndiyo mada bora
-mpenzi mzuri Handsome& Beautifly Ndie mwenye wapenzi zaidi ya 2
-kupitia njia zisizo halari ili kupata mafanikio ;
- Mtu yeyote asiye tumia mitandao ya kijamii amepitwa na wakati
_ -Ambapo jina Lako Mungu watu wanafanyia biashara,,,
_ -Ambapo kunena Bwana Yesu Asifiwe imekuwa chukizo masikioni mwao,,
_Ambapo watu wanagombana na kutoana kafara kwaajiri ya mari,
_ -Ambapo utajiri wakimwili ni muhimu sana kuliko utajiri wakiRoho
Kumbuka siku za Nuhu, Mungu alikerwa na tábia za Kile kizazi na akaiharibu dunia kwa maji, hivyo ndivyo itakuwa siku ya mwisho, lakini itaharibiwa kwa moto.
Wale ambao tayari ni waumini nani wateule twapaswa kusonga mbele nimwiko kurudi nyuma , endelea kupigana kwa sababu hatimaye utakuwa mshindi na usisahau kwamba Mungu Anakupenda. By Salaka From Nyasa Chimate ,, Aleluya family ,,,I miss you my Everything mchungaji Chikoko naamini Ipo siku tutakuja kuonana Parapanda itakavyo lia,,,Ámina