Atic Luambo

Atic Luambo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Atic Luambo, Women's clothes shop, Dar es Salaam.

Ni heshima kwa Muislamu mwanamke kushika Qur-an akiwa amejihifadhi.
12/11/2025

Ni heshima kwa Muislamu mwanamke kushika Qur-an akiwa amejihifadhi.

05/11/2025

Anaandika πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Yeyote aliyehusika na machafuko haya kwa namna yoyote lazima awajibike, iwe kwa kuchochea mitandaoni au kwa kutenda moja kwa moja, basi hatua kali zichukuliwe. Tunayo nchi moja tu na uhai ni mmoja tu.

Haki ya kila mmoja ipatikane! Poleni sana ndugu zetu mliofikwa na majanga kwa kuharibiwa mali za umma na mali za watu binafsi ama kujeruhiwa ama maafa zaidi!

Ili tuyatazame mambo haya kwa wigo mpana na kwa akili huru, tusijifungie katika eneo moja tu box la demokrasia na haki tu, lazima tujifunze kutazama nyuma ya pazia.

Tuwatazame wakubwa duniani Magharibi na Mashariki, Ni wazi wakubwa hawa wako kwenye vita vya uchumi, siku za nyuma usharika wa Dar na Moscow ulipokomaa niliwahi kutahadharisha nikihoji je tuko tayari k**a taifa kucheza Disco la Washington na Brussels? Nilikuwa nikisema hayo nikifahamu wazi kwamba mataifa mengi yaliyoshibisha usharika na Moscow, tawala zao zimetingishwa na nyingine kudondoshwa kabisa.

Je tunatumika k**a uwanja wa vita vya Uranium na vita vya raslimali zingine adhimu duniani dhidi ya wakubwa? Tuamke tukatae kwa nguvu zote

Swali la msingi tunalotakiwa kujiuliza, Je tulijiandaa vya kutosha kukabila uchochezi wa Ulaya na Marekani tulipoamua kuingia mikataba muhimu ya nyuklia na Urusi? Tulijiandaa kikamilifu kukabili mikikimikiki ya Marekani na Ulaya pale tulipoamua kuongeza ushirika wetu na Moscow baada ya mageuzi ya Sera za Kigeni za Urusi hapo 2023. Leo Urusi na Uchina walikuwepo k**a mashuhuda wa Kiapo cha Rais wa Tanzania. Unafikiri kwa nini Marekani na Nduguze hawakuhudhuria? Sikufundishi kufikiri

Pamoja na matatizo mengi ya utawala wa kiimla wa ccm na serikali yake, pamoja na ukosefu wa haki na demokrasia nchini, Lakini, Hiki ndio kiini cha yote hayo, chini ya mgongo wa demokrasia na haki nchini ambavyo ni kweli na haki na wazi kabisa kwamba serikali ilipuuza maonyo ya haki na demokrasia nchini. Mali na utajiri wa Tanzania vinatungiza kwenye machafuko kwa vita ya Marekani na Urusi

Nini kifan

13/10/2025

HOW TO FORMULATE LOW COST GOAT FEED AT HOME

You can create nutritious, affordable goat feed using local ingredients. Here's a simple guide

~ Basic Ingredients (for 100kg of feed)
~ Maize (energy) – 40 kg
~ Wheat offal or bran (fiber & energy) – 25 kg
~ Groundnut cake or soybeans (protein) – 20 kg
~ Bone meal (minerals) – 5 kg
~ Salt (electrolyte balance) – 0.5 kg
~ Premix or ash (vitamins/minerals)– 0.5 kg
~ Molasses (optional for taste) – 1–2 kg
~ Chopped dry grass or hay – Add as roughage

βœ“ Steps
1. Mix dry ingredients thoroughly.
2. Add molasses (if used) and mix again.
3. Store in a cool, dry place.
4. Feed with fresh water and green forage.

This homemade feed cuts cost and supports growth, milk, and weight gain.

Keep following Nasara Gaya Sahanunu πŸ–ŠοΈ

28/08/2025

😳😳😳

20/07/2025

Unemployment hits different when you’re a man. Family treats you differently. People lose respect for you. Nobody cares about you and what you say. Family is only nice when you have something to offer. May the universe be kind to our unemployed brothers.

09/07/2025

Truth is biased

10/10/2024

Getting something you never had, needs doing something you never did

Bado tupo alive wadau wetu na tutaendelea tulipoishia, pata bidhaa Bora na viwango vya juu kbs hapa na tuna bidhaa zifua...
13/09/2024

Bado tupo alive wadau wetu na tutaendelea tulipoishia, pata bidhaa Bora na viwango vya juu kbs hapa na tuna bidhaa zifuatazo;

26/08/2024

".....get the ball, pass the ball, play like we train...."
Gamondi

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Atic Luambo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share