Mkulimasolution

Mkulimasolution "Kutoka Jembe hadi Mashine – Tuko Pamoja!"
mashine / bidhaa za KILIMO
mashine / bidhaa za UFUGAJI
mashine

29/05/2026

TUNAUZA WAVU WA PLASTIC | CHICKEN PLASTIC MESH KWA AJILI YA MABANDA YA KUKU πŸ”πŸ› οΈ

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“²
πŸ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Kariakoo – Dar es Salaam

β€”

CHICKEN PLASTIC MESH ni wavu maalum wa plastic unaotumika kujenga na kulinda mabanda ya kuku kwa usalama na ufanisi mkubwa.

Inafaa kwa:
πŸ” Mabanda ya kuku wa mayai na nyama
🐣 Vifaranga (brooder)
🚜 Miradi ya ufugaji wa kisasa

β€”

Vipimo Vinavyopatikana:

🧡 25m x 1.8m β€” 170,000
🧡 50m x 1.8m β€” 350,000

β€”

Faida za Chicken Plastic Mesh:

βœ… Haishiki kutu (rust-free)
βœ… Imara na hudumu muda mrefu
βœ… Rahisi kufunga na kutumia
βœ… Inaruhusu hewa kupita vizuri
βœ… Inalinda kuku dhidi ya wanyama na madhara

β€”

MKULIMA SOLUTION tunakuletea vifaa bora kwa ajili ya ufugaji wa kisasa na wenye tija.

πŸ“ Tembelea ofisi yetu Tegeta – Dar es Salaam au wasiliana nasi moja kwa moja:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

agriculture tanzania dar wakulima

27/05/2026

TUNAUZA BRUSH CUTTER 2-STROKE NA 4-STROKE | KWA KAZI NZITO ZA KILIMO NA USAFI WA MAZINGIRA

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ•– Muda wa kazi: saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Ofisi: kariakokoo – Dar es Salaam

β€”

BRUSH CUTTER ni mashine bora ya kufyekea nyasi, vichaka, miti midogo, na shughuli nyingine ngumu za kilimo na usafi wa bustani au mashamba.

Tunauza aina mbili:
βœ… 2-Stroke = 450,000
βœ… 4-Stroke = 550,000

πŸ’° Bei: Tsh hadi
🧰 Inakuja na TOOLS 4 zifuatazo:

1. Disk ya kufyekea vichaka na miti midogo

2. Jembe la nyasi (grass blade)

3. Waya wa nyasi (nylon rope)

5. Jembe la kupalilia (cultivator attachment)

β€”

Faida za kutumia Brush Cutter zetu:
βœ”οΈ Kazi haraka na kwa ufanisi
βœ”οΈ Hupunguza gharama ya kuajiri wafanyakazi
βœ”οΈ Ina vifaa vingi vinavyofanya kazi tofauti
βœ”οΈ Inafaa kwa wakulima, walinzi wa bustani, na wafanyabiashara wa kilimo

β€”

πŸ“ Fika ofisini kwetu Tegeta au wasiliana nasi kwa:
πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

mkulimasolution ufyekaji kupalilia vifaa tanzania bustani kilimokwanateknolojia

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

27/05/2026

TUNAUZA INCUBATOR ZA KUTOTOLESHA MAYAI | KWA KILA MFUGAJI WA KISASA 🐣πŸ₯
πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“±
πŸ• Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta – Dar es Salaam

β€”

INCUBATOR ni mashine maalumu ya kutotolesha mayai bila kutumia kuku.
Mashine hizi ni msaada mkubwa kwa wafugaji wa kuku wa mayai, kienyeji, broiler na hata bata.

Tunauza aina mbalimbali za incubator kulingana na mahitaji yako:

πŸ“¦ OFA YA BEI:
πŸ₯š Incubator ya mayai 30 β€” Tsh 180,000
πŸ₯š Incubator ya mayai 64 β€” Tsh 300,000
πŸ₯š Incubator ya mayai 128 β€” Tsh 400,000

β€”

FAIDA ZA KUTUMIA INCUBATOR:
βœ… Huharakisha uotaji wa vifaranga
βœ… Inaruhusu kutotolesha wakati wowote (si lazima msimu)
βœ… Zinatumia umeme na solar
βœ… Full automatic (inazungusha MAYAI)

β€”

MKULIMA SOLUTION – Tunakuwezesha kufuga kwa ufanisi wa kisasa!

Kwa maelezo zaidi au kuagiza:
πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861





KukuWaMayai
Broiler
KukuWaKienyeji
UfugajiBora
MashineZaUfugaji
VifaaVyaUfugaji
KilimoNaUfugaji
KilimoBiashara
WafugajiTanzania
DarEsSalaam
Tegeta
SolarIncubator
FullAutomaticIncubator
MkuliMaSolution
BiasharaTanzania
AgribusinessTanzanifM

26/05/2026

TUNAUZA MASHINE KUBWA YA KUKOBOA MPUNGA | MASHINE YA RICE MILL

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“±
πŸ•– Muda wetu wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta - Dar es Salaam

πŸ”§ Sifa za Mashine Hii:

Ina motor yenye nguvu kubwa

Inakoboa mpunga kwa haraka bila kupoteza nafaka

Inatoa mpunga safi na mweupe tayari kwa matumizi au biashara

Inafaa kwa wakulima wakubwa, vikundi vya kilimo, ushirika na wafanyabiashara wa mpunga

β€”

πŸ’‘ Faida za kutumia mashine hii:

Kuokoa muda na gharama ya kukoboa mpunga kwa mikono au kwa mashine duni

Kuongeza thamani ya mazao yako

Kurahisisha biashara na kuongeza kipato

β€”

MKULIMA SOLUTION tunauza mashine hizi kwa bei nafuu na tunatoa ushauri jinsi ya kuitumia na kuitunza.

β€”

πŸ“ Fika ofisini kariakokoo au wasiliana nasi kwa:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimobiashara mashinezakilimo agriculturetools kilimotanzania tanzania mpunga bustani wakulima

MKULIMA SOLUTION | TEGETA - DAR ES SALAAM

25/05/2026

TUNAUZA MASHINE YA KUPIGA NA KUPIKUCHA ALIZETI 🌻
SUNFLOWER THRESHER MACHINE

βš™οΈ INAKUJA NA MOTA YA 6.5HP
⚑ Inapiga hadi kilo 500 kwa saa
β›½ Inatumia mafuta kidogo na kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa

πŸ“ž +255 658 375 861

πŸ“²
πŸ•– Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta Wazo Hill – Dar es Salaam na Bagamoyo

β€”

Mashine ya Kupiga na Kupikuchua Alizeti ni kifaa maalumu kwa ajili ya kutenganisha mbegu za alizeti kwa haraka, usafi na ufanisi mkubwa.

βœ… Faida za mashine zetu:

Huokoa muda na nguvu kazi

Hupunguza gharama za uzalishaji

Inafanya kazi kwa kasi kubwa

Inatumia mafuta kidogo

Rahisi kutumia na kudumu muda mrefu

Inafaa kwa wakulima, vikundi vya kilimo na wafanyabiashara wa alizeti

MKULIMA SOLUTION tunauza mashine bora za kilimo kulingana na mahitaji na bajeti yako.

β€”

πŸ“ Tembelea ofisi zetu au wasiliana nasi kwa:
Call / WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

vifaaavyakilimo kilimobiashara kilimotanzania agribusiness mkulimasolution DarEsSalaam Bagamoyo TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

25/05/2026

TUNAUZA MIN POWER TILLER | MASHINE ZA KULIMIA SHAMBA KWA URAHISI NA HARAKA | PETROL & DIESEL

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“±
πŸ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta - Dar es Salaam

β€”

POWER TILLER ni mashine bora kabisa kwa wakulima wa kisasa. Inatumika kulima mashamba ya mpunga, mahindi, mboga mboga na mazao mengine kwa ufanisi mkubwa.

βœ… Inafaa kwa mashamba makubwa na madogo
βœ… Inapunguza gharama za kulima kwa mikono
βœ… Inaokoa muda na nguvu
βœ… Rahisi kutumia na kutunza

β€”

πŸ”§ TUNAUZA POWER TILLER KUANZIA HP 7 HADI HP 15

πŸ’° BEI ZA BRANDS ZETU:

Min Power Tiller – TZS 3,000,000

Kubota Original – TZS 11,000,000

Toyo – TZS 7,000,000

Boer – TZS 7,000,000

Kobuta – TZS 7,000,000

Amec – TZS 8,000,000

πŸ› οΈ NB: Tiller (jembe la kulimia) linauzwa tofauti na Power Tiller.
πŸ‘‰ Bei ya Tiller ni TZS 2,000,000

β€”

MKULIMA SOLUTION tunauza mashine imara na zenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya shughuli za kilimo.

πŸ“ Tembelea ofisi zetu zilizopo Tegeta - Dar es Salaam, au wasiliana nasi moja kwa moja kwa:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimobora kilimokisasa mkulimasolution kubota amec boer tanzania kilimotz kilimo2025 mkulima

MKULIMA SOLUTION | TEGETA - DAR ES SALAAM

22/05/2026

TUNAUZA OIL PRESS MACHINE | MASHINE ZA KUKAMUA MAFUTA YA ALIZETI, KARANGA, UFUTA, SOYA n.k

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“²
πŸ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Kariakoo – Dar es Salaam

βΈ»

Tunauza Oil Press Machines za aina tofauti kuanzia ndogo, za kati hadi kubwa:

βœ… 6YL SERIES

➑️ Mfano wa mashine:
β€’ 6YL-68 (small scale)
β€’ 6YL-80
β€’ 6YL-95
β€’ 6YL-100
β€’ 6YL-120

Mashine hizi zinakamua mafuta ya: alizeti, karanga, ufuta, soya, parachichi, n**i n.k
Ni rahisi kutumia, zinatumia umeme mdogo na zinatoa mafuta mengi kwa muda mfupi.

βΈ»

βœ… YZYX SERIES

➑️ Mfano wa mashine:
β€’ YZYX 70
β€’ YZYX 90
β€’ YZYX 120
β€’ YZYX 150

Hizi ni heavy-duty, zinafaa kwa uzalishaji mkubwa kwa viwanda, mashamba na vikundi.
Zina uwezo wa kukamua mafuta kwa kiwango kikubwa na hazihitaji matengenezo ya mara kwa mara.

βΈ»

Faida za mashine zetu

βœ… Zinakamua mafuta kwa kiwango kikubwa
βœ… Zina screw press imara
βœ… Sehemu za chuma ni salama kwa chakula (food grade)
βœ… Zinadumu muda mrefu
βœ… Zipo spare parts na service

βΈ»

MKULIMA SOLUTION tunauza mashine bora kabisa, mpya na zenye warranty.

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861
πŸ“ Tembelea ofisi yetu Kariakoo – Dar es Salaam

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam

Telephone

+255683522630

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkulimasolution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share