21/01/2023
๐ฅ๐ฎ๐ถ๐ ๐๐ฎ ๐๐ต๐ถ๐ป๐ฎ ๐ซ๐ถ ๐๐ถ๐ป๐ด ๐ฃ๐ถ๐ป๐ด ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ถ๐บ๐๐น๐ถ๐ฎ.
Nikiwa mtoto mdogo, nilikuwa ๐บ๐ฏ๐ถ๐ป๐ฎ๐ณ๐๐ถ sana, kila mara nilipenda kujinyakulia kilicho bora zaidi.
Polepole, kila mtu aliniacha na sikuwa na marafiki. Sikuona k**a hilo lilikuwa ni kosa langu badala yake niliishia kuwakosoa wengine.
Lakini baba yangu alinipa darasa la kunisaidia maishani.
Siku moja, baba yangu alipika bakuli 2 za tambi(noodles) na kuziweka juu ya meza. Moja lilikuwa na yai juu huku bakuli lingine halina hata yai moja juu.
Kisha akanitaka nichague bakuli moja.
Kwa sababu mayai yalikuwa adimu siku hizo, nilichagua bakuli lenye yai!
Nilikuwa najipongeza kwa uamuzi wangu wa busara wa kuchagua bakuli lenye yai. Kwa mshangao wangu, niliona kwamba bakuli la babangu lilikuwa na mayai mawili chini!
Kwa majuto mengi, nilijikaripia kwa kuwa na haraka katika uamuzi wangu.
Baba yangu alitabasamu, *๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ถ๐ฎ, ๐๐ถ๐๐ผ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐ฐ๐ต๐ผ๐ธ๐ถ๐ผna ๐บ๐ฎ๐ฐ๐ต๐ผ๐ป๐ถ ๐ธ๐ถ๐ป๐ฎ ๐๐ธ๐๐ฒ๐น๐ถ.*
Aliongeza kuwa, *๐จ๐ธ๐ถ๐ท๐ฒ๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ถ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐ป๐๐ณ๐ฎ๐ถ๐๐ต๐ฎ na kujipendelea ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐ด๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ ๐๐๐ฎ๐ถ๐๐ต๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ.*
Siku iliyofuata, baba yangu alipika tena bakuli 2 za noodles: bakuli moja na yai juu na bakuli lingine bila yai juu,na kuleta mezani.
Tena, alinitaka kuchagua bakuli nililotaka.
Wakati huu, nilihisi mjanja kwa hivyo nilichagua bakuli bila yai lolote juu.
Mmmmm kwa mshangao, hapakuwa na hata yai moja chini ya bakuli!
Tena baba alitabasamu na kuniambia, ๐บ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ๐ป๐ด๐, ๐๐๐ถ๐๐ฒ๐ด๐ฒ๐บ๐ฒ๐ฒ ๐๐๐ผ๐ฒ๐ณ๐ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ถ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ถ ๐บ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ, ๐บ๐ฎ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ธ๐๐ฑ๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ธ๐๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ฎ ๐ต๐ถ๐น๐ฎ.
๐๐ฎ๐บ๐๐ฒ ๐๐๐ถ๐ธ๐ฎ๐๐ถr๐ถ๐ธ๐ฒ ๐ฎ๐ ๐ธ๐๐ต๐๐๐๐ป๐ถ๐ธ๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ, ๐๐ธ๐ถ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ต๐ฎ๐น๐ถ ๐ณ๐๐น๐ฎ๐ป๐ถ, ๐ฐ๐ต๐๐ธ๐๐น๐ถ๐ฎ ๐๐ ๐๐๐ผ๐ฒ๐ณ๐ ๐ธa๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐ณ๐๐ป๐๐ฎ ๐๐ผ๐บ๐ผ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐น๐ผ ๐ต๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐๐ถ ๐ธ๐p๐ฎ๐๐ถ๐ธ๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐ผ๐ธ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐๐ผ๐๐๐ผ๐๐ฒ ๐๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ฎ๐ฑ๐ฎ.
Siku ya tatu, baba yangu aliweka tena bakuli 2 za noodles, bakuli moja na yai juu na nyingine bila yai juu.
Alinitaka nichague bakuli nililotaka.
Lakini wakati huu, nilimwambia baba yangu, Baba, chagua kwanza. Wewe ndiye kichwa cha familia na unachangia zaidi kwa familia.
Baba yangu alifurahi sana na alinichagulia.
Alichagua bakuli lenye yai moja juu. Lakini nilipokuwa nikila bakuli langu la tambi, kwa mshangao wangu, kulikuwa na mayai mawili chini ya bakuli.
Baba yangu alitabasamu kwa upendo machoni pake. Alisema, ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐ป๐ด๐, ๐ป๐ถ ๐น๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐ธ๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐ฝ๐ผ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ฎ๐ท๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ฒ๐บ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ฒ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ, ๐บ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ผ ๐บa๐๐๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ถ.
Kupitia hii hadithi ya ๐ซ๐ถ ๐๐ถ๐ป๐ด ๐ฃ๐ถ๐ป๐ด, tunapoendelea na safari ya 2023 na mambo yetu yaende barabara.
โก๏ธTunatakiwa tufikirie manufaa ya wengine ndipo mema yatakapotujia.
โก๏ธKatika kutimiza malengo yetu, tusiwe wabinafsi; bali pia tunapaswa kutilia maanani mikakati ya wengine ili furaha yetu husika ikamilike.
โก๏ธTusikimbilie nafasi, cheo, mali, umaarufu n.k kwa kuwaangusha,kuwadharirisha, kuwaangamiza au kuwaponda wengine ili tu kupata chochote tunachotaka.
*Mungu wa mbinguni azidi kutupa hekima, busara kila tunapoiwazia kesho yetu*