22/07/2016
CROWD RISING
Huu ni mfumo wa kusaidiana kuinuana wananchi kiuchumi kutoka ktk umasikini uliokithiri.
Mfumo huu unatumika dunia nzima na ulianza rasmi June 2016 huko Canada.
Nia hasa ni kuwa na utaratibu wa kuwezeshana sisi wa hali ya chini ili kila mmoja anufaike na kupunguza huu umasikini uliyopo.
Mfumo huu ni salama na hakuna mtu anayeshika fedha zako. Kila mmoja anatakiwa kutunza fedha zake.
Ili kuwa mwanachama ktk mfumo huu, unatakiwa kumsaidia anayekuunganisha kwa kumpata 20,000/- tu. Kisha anakupa link ambayo utajaza taarifa zako humo.
Baada ya hapo utatakiwa kujaza taarifa za akaunti ambayo ungependa fedha zako ziingie humo. Hapa huwa wanashauri kwa sisi Watanzania kujaza k**a ni tigopesa au mpesa au airtelmoney ili iwe rahisi kutumiwa fedha.
Baada ya kujiunga na kujaza taarifa zako muhimu, anayekuunganisha atapata ujumbe ktk mfumo huo unaotumia mtandao ukimtaka kukuingizi ktk mfumo na kuanza daraja la 1.
Mfumo huu una madaraja 15. Kila daraja lina faida yake na kadiri unavyopanda daraja ndipo faida unaziona zaidi.
FAIDA
Ili kuingia daraja la 1, unatakiwa kumtumia anayekuunganisha 20,000/- kisha na wewe unakuwa na uwezo wa kuanza kuunganisha watu. Mfumo unamtaka kila aliye ktk daraja 1 awaingize watu 5 tu.
Hao watu 5 kila mmoja utamuingiza ktk mfumo na atakulipa moja kwa moja ktk aidha tigopesa au mpesa au airtelmoney yako uliyojaza ktk mfumo (system) hii. Hapo utapokea 20,000 x 5 = 100,000/- tasilimu. Hapa utakuwa umepata faida ya 80,000/- kamili.
Ili kuingia daraja la 2 utatoa 40,000/- toka ktk faida yako na kumchangia mtu wa juu ili akupandishe daraja. Hapa haumpi yule aliyekuingiza bali unampa yule aliyemuingiza aliyekuunganisha wewe. Yaani k**a aliyekuunganisha ni mama basi unampa bibi (aliyemuingiza mama).
Ktk daraja la 2 unatakiwa kuwasaidia uliowaunga (watoto wako 5) ambao wamekichangia wewe 20,000/- awali ili watimize watu 5 kila mmoja. Jumla ni watu 25. Hawa wajukuu zako watakuwa daraja la 1 na wakitaka kupanda daraja watakulipa wewe babu/bibi 40,000/- kila mmoja k**a wewe ulivyomlipa bibi yako hapo awali.
Hivyo wajukuu 25 x 40,000 = 1,000,000/- tasilimu utapata.
Baada ya wajukuu zako kutimia 25, mfumo utakutaka upande daraja 3. Kuingia daraja la 3 utamchangia aliyemuingiza babu/bibi yako ktk mfumo na hapa utampa 100,000/- tu. Na utatoa ktk 1,000,000/- uliyoipata toka kwa wajukuu zako.
Ktk daraja la 3 utatakiwa kushirikiana na watoto wako, wajukuu zako ili kila mjukuu apate watoto 5. Wajukuu wapo 25 na kila mmoja akiwa na watoto 5 inamaana utakuwa na vitukuu 125. Hawa vitukuu ili waje kupanda daraja la 2 hapo baadae watakulipa wewe 100,000/- kila mmoja ili uwapandishw daraja k**a wewe ulivyomlipa aliyemuingiza babu/bibi yako. Jumla utapokea 125 x 100,000 = 12,500,000/- tasilimu.
Baada ya hapo utapanda daraja la 4 na kuendelea. Hadi kufika daraja la 15.
Nadhani umepata picha hapo, ni faida lukuki. Mfumo ndio kwanza mpya na watu dunia nzima wanajiunga kwa kasi hivyo wahi kuwa wa kwanza kwanza ili kunufaika mapema.
Kwa sasa mfumo haujafikisha watu 100,000 duniani kwani ndio kwanza una muda kadhaa.
Kumbuka hakuna anayemshikia mtu fedha na system inatumika kukupandisha daraja tu. Hauichangii chochote. Mtaji ni 20,000/- tu hakuna ziada kutoka mfukoni kwako. Fedha zote utapokea moja kwa moja kwa njia utakayomwambia unayemuunganisha aitumie.
Kufahamu zaidi wasiliana na aliyekupa taarifa hizi.
KARIBU TUPUNGUZE UMASIKINI TANZANIA.